Kwani Zanzibar unarudigi liniKwahiyo Jumamosi hatunywi? Sitaweza
Acha tu..
Kuna watu siyo wakuchukoza
Ila Ma Aunty Nongwa jamaniyaani hawa waombee tu nipate ban
Umepata auntieAuntie naomba basi LV moja hapo?
Mwenyewe nawaza hapa..hivi auntie waliwazaje hawa mbwa kunisema hovyo pm kwao
Ila Ma Aunty Nongwa jamani
Nimekumbuka ile JF ya enzi zile,kipindi nikiwa msomaji zaidi.
Mwenyewe nawaza hapa..
Najiuliza ule mkeka wote ni juu ya mtu mmoja tu jamani? Watu wanayaweza...
Auntie Niache...
Acha tu Auntie..ulikuwa binti mpole auntie yangu
Yaaaani PM iko na mambo jamani.. Doh!mkeka halafu umechanganya una watu karibia watatu washenzy hawa
Auntie Basi.. Basi..we mbwa uoge kwanza utakate halafu uanze kunisema hovyo
Acha tu Auntie..
Sasa hivi ni kama nimejiunga JF jana
Sanaaaa pm hakufai watu waache kuongea habari zao na maisha yao wanaanza kumuongelea shunie na kutumiana shots mbwa hawaYaaaani PM iko na mambo jamani.. Doh!