Aah wewe uvaage hivyo vyuma chakavu tu, ukivaa hata robo gramu nitapumulia wapi mimi
Ahsante Auntie akeeUtanipitia huku kwa Bwana Mwajiri
Uswekeni tenaAuntie basiMstahi sasa...Tumalize Kwaresma..Akiendelea tena..Nitakuambia cha kufanya..
Auntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi"
Hii kauli inanitesa jamani, ufunguo wa chumba changu nitakuwa natembea nao kwenye nyonyo.
Story aside, kwahiyo auntie umevaa milioni mbili shingoni eti?
Woooozah!!!!
Mashangazi mna nini?Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!
Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Napajua Vyema Auntie...Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajuaau basi tuishie hapa
Huyu Bwana huyuna ubahili wa auntie yangu sijui kama ataweza
Auntie ukoukoNapajua Vyema Auntie...
Si kule kama unaenda Kitumbini?AU?
Kuna lile jengo wamejaa wauza hivyo vito tu?Na bei zao siyo haba
Huyu Bwana huyuBasi tu...
Nanyamaza Auntie...niliwahi kupewa zawadi hiyo...kila nikikumbuka hapa nacheka...
Nina kazi mimi na huyu ndugu yangu jamani
Sipajui Auntie..Auntie ukoukonilimaanisha huyu wa uswekeni anapajua au basi
Sipajui Auntie..
Ni wapi huko kwanza...Maana hilo jina linachekesha jamani