Makapuku Forum

🟨 | UGENINI PAGUMU
.
Wachezaji 14 wa Simba wana kadi za njano katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika huku kadi 11 kati ya hizo wameonyeshwa katika mechi zao za ugenini na tatu wameonyeshwa Kwa Mkapa.
 
FEI NJE WIKI MBILI
.
Kiungo fundi wa mpira wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ hatakuwepo kwenye mchezo dhidi ya Azam FC utakaopigwa Aprili 6, kutokana na kupata majeraha akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’.
.
Fei aliumia goti na kushindwa kuendelea kufanya mazoezi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Sudan utakaochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mkapa.
.
Baada ya kupata majeraha hayo alifanyiwa vipimo vya kina na kubainika tatizo lake litamweka nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki mbili na alipewa ruhusa ya kutoka kambini kwenda nyumbani kwao Zanzibar. [
Mwanaspoti]
 

Take Us slow Auntie!!! Pls...

Eti Shunie mma..Shunie majii

Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni
 
auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store
wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
 

Auntie jamani...Kwamba shingo Imechafuka


Kwa hiyo Hereni nitapata Aunty Akee?
 
Auntie kuna mkoba wangu humu ndani siuoni halafu kuna mahali palee nauona. Na cheni yangu ukimaliza kudolishia irudi haraka sana.
 
Auntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi"
 
Ahsante Auntie akee
Utanipitia huku kwa Bwana Mwajiri


Uswekeni tena
Auntie basi
Mstahi sasa...Tumalize Kwaresma..Akiendelea tena..Nitakuambia cha kufanya..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…