Mbona na bwana waoKwani akitoa zile ushahidi unadhani anahitaji marafiki sisi tumpe back up? Yani ni aibu kwa watu wazima walio kwenye forum kama hii kujazana upupu na kuusambaza. Kwa kifupi bidada na bwana wao na hao wengine waliokua wanachat PM tunasema WANAJITISHA.
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweliMy ndugu wasamehe ila ukisikia tena toa ushahidi wooote umuache chiu ntu na ntue.
Hivi wakipita wakiona kwamba na ushahidi wa message zao za WhatsApp na PM sijui wanajisikiaje.
Sema ule mwandiko wa ule kaka umekaa mwanaume flani anaependa attention na uzuri kajua mwanamke wake rahisi kumchota akili ndo maana akawa anamjaza vile.
Halafu kwani mwanaume hawezi kuomba chiu mpaka ampondee mwanamke mwingine??? Mshamba sana huyu memba mfyuuuu
Hata ile story yao sijui unasema bwana wao kaungua yani mimi usiniambie wakajue watu wa huku ambao hawajawahi hata kukuona?Wanajitishaeti shunie ametoa mimba ndugu yangu niwe na mimba usijue ila watu wa jf kwa kutunga
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
Kweli jamani ila huyu dada naonekana namkosesha raha sanaHata ile story yao sijui unasema bwana wao kaungua yani mimi usiniambie wakajue watu wa huku ambao hawajawahi hata kukuona?
Kwahiyo kaungua au hajaungua jamaniHata ile story yao sijui unasema bwana wao kaungua yani mimi usiniambie wakajue watu wa huku ambao hawajawahi hata kukuona?
Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili ShunieHapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
Lile pooza lililotukuka la siku zote ndilo lililonijia akilini la kwanza kabisaaaa. Maana ndio anafanania huo uduwanzi hakuna mwingineauntie nimecheka hayo majina jamani
Si wamekutana mapooza wote, sasa wataongea nini zaidi ya huo upuuzi. Yale ni mapooza matakatifu. Match made in hell.Eeeh bwana wao maana na yeye ndo anamjaza huyo mwanamke wake eti Shunie anataka kuzaa nae na yeye hataki.. Sasa hata kama ni kweli unaenda kumwambia ex wako ili iweje? Kwamba unapendwa sana au? USHAMBA MZIGO
Akuache tu ahangaike na wale wengine huna muda huo. Halafu watu mmechana unahangaika na story za mademu zake za nini kama sio wendawazimu?Kweli jamani ila huyu dada naonekana namkosesha raha sana
Kama kaungua basi na ndugu yetu nae tayari. Hivi unaweza mtangazia mwanaume wako kaungua kweli?Kwahiyo kaungua au hajaungua jamani
Perfect combo. Ila mwanamke ni mjinga zaidi kashindwa kujua bwana anamvuta amle tena yeye anabeba story anazojazwa nazo kama zilivyo na kuzisambazaSi wamekutana mapooza wote, sasa wataongea nini zaidi ya huo upuuzi. Yale ni mapooza matakatifu. Match made in hell.
Sasa kwani hata akili ya kung'amua hilo unafikiri anazo!!Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie. Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
Ujinga nao kipaji walahKama kaungua basi na ndugu yetu nae tayari. Hivi unaweza mtangazia mwanaume wako kaungua kweli?. Yani walivyo mabolizozo hata hawatumii tu akili kwamba hamna mtu analala na mtu halafu anamtangaza ana UKIMWI
Eeeh bwana wao maana na yeye ndo anamjaza huyo mwanamke wake eti Shunie anataka kuzaa nae na yeye hataki.. Sasa hata kama ni kweli unaenda kumwambia ex wako ili iweje? Kwamba unapendwa sana au? USHAMBA MZIGO
Kwahiyo kaungua au hajaungua jamani
Najiuliza huyu dada pm anakosa vya kuongea kweli ni shuniee shunieeItakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie. Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
Lile pooza lililotukuka la siku zote ndilo lililonijia akilini la kwanza kabisaaaa. Maana ndio anafanania huo uduwanzi hakuna mwingine
Hapo sasa jamaniAkuache tu ahangaike na wale wengine huna muda huo. Halafu watu mmechana unahangaika na story za mademu zake za nini kama sio wendawazimu?