Makapuku Forum

Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
 
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie
. Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
 
Si wamekutana mapooza wote, sasa wataongea nini zaidi ya huo upuuzi. Yale ni mapooza matakatifu. Match made in hell.
 
Sasa kwani hata akili ya kung'amua hilo unafikiri anazo!!
 
Ujinga nao kipaji walah

Hizo akili za kufikiria hivyo hawana trust me. Yaani hapo ndipo ufahamu wao ulipofikia.
 
Najiuliza huyu dada pm anakosa vya kuongea kweli ni shuniee shuniee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…