Ahsante Dear...Pole na majukumu auntie hilo jambo lililokushtua hiloyaani humu kuna mambo jamani
Hahahahaha natamani aje a some huyu mzee. mtu chake kama namuona kwenye swala la udhamini
Ahsante Dear...
Mambo humu ni tight kama kifuniko ya Gas Auntie.... Nimechekaaa
Akii nimesoma nikashtuka.. Wamekuchokoza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua vile mtu huna mazoea naye au anaweza tu kukusema ili mradi tu mara paap unakutana na like yake halafu kaitoa kumbe huwa ananifatilia kimyakimya like imemuumbuanaona hatarudia tena au siku nyingine anifatilie tu kwa umakini sana
Atakuwa MibsHahahahaha huyu mzee hana jambo dogo mtu na pesa zake mtu chake uko wapi we mzee lakini
Hahahahaha nishaachana nayo auntie humu kunachekesha sana
Nimecheka kama mazuri jamani..Kuna mambo ya ajabu humu...
Anyway, achana nayo Aunty Ake yasikupotezee muda...Next time atapita kwa Uangalifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa MibsAnapapenda huyo
Hebu aje haraka aiseee...Ikiwezekana Pasaka nawe ukae pale Morocco Auntie..
Hashtag #Hatushindwiiiii#
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha nishaachana nayo auntie humu kunachekesha sana
Nimechela kwa sauti auntie kwani huyu mzee hajarudi Congo porini kwake
Kho kho kho khoTupate tangazo kutoka kwa wadhamini kidogoView attachment 2140169
Uzuri sio selfie, kuna mpigaji
Hahaha bado hajaja
Ngoja aje hapa atupe tamko tujue yupo Mjini au wapi? Simuelewi elewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuletee maji etiKho kho kho kho
Hahahha ukimaanisha nimepigwa na mdada wangu wa kaziUzuri sio selfie, kuna mpigaji
Fanta orangee itatoshaaaNikuletee maji eti
Ya baridi eenhFanta orangee itatoshaaa
Woooooooiiiiii sijui niseme ndio sijui niseme sijui ...ila amekaa angle nzurii kwenye kupigaHahahha ukimaanisha nimepigwa na mdada wangu wa kazi