Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa miaka kadhaa sasa, ‘Mfalme Zumaridi’ ambaye jina lake halisi ni Diana Bundala, ni miongoni mwa wahubiri wa dini wanaovuma ndani na nje ya Jiji la Mwanza.

‘Mfalme Zumaridi’ (39) ambaye pia hujiita mungu wa duniani amesikika akitoa huduma ya maombezi, mahubiri na hata tiba kwa magonjwa kadhaa anayodai kuwa na uwezo wa kuyaponya.

Ingawa hakuna maelezo mengi kuhusu historia yake, Diana alizaliwa Oktoba 9, 1983 katika kijiji cha Maganzo Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga.

Imezoeleka kuona historia ya elimu ya dunia na dini ya viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini, lakini kwa ‘mfalme Zumaridi’ suala la historia yake jinsi alivyoingia kwenye masuala ya kuhubiri dini hadi sasa ni giza nene, kwani licha ya kuendesha ibada zinazohudhuriwa na mamia ya waumini, haijulikani ni wapi aliposoma na kufuzu masomo ya dini.

Hata hivyo, kukosekana kwa historia yake hakujamzuia ‘mfalme Zumaridi’ kuvuna idadi kubwa ya waumini katika kanisa lake lililopo eneo la Iseni jijini Mwanza ambalo kwa sasa limesitisha huduma baada ya kufungwa na Serikali miaka mitatu iliyopita.
Screenshot_20220302-105718_Instagram.jpg
 
Nombeni sapoti wana MAKAPUKU mniongezee Mahali angalau ifike nusu nikamchumbie mchumba wangu, Nikifanikisha atakua Mke wetu MAKAPUKU. Over
 
MTIBWA: YANGA HAWAJALIPA PESA YA MSHERI
.
"Yalifanyika makubaliano ya pande mbili tukiamini Yanga ni watu wazima na watatelekeza mkataba unavyosema, lakini mpaka sasa hakuna hata moja lililofanyika.
.
“Tangu January mpaka sasa hatujaona kitu. Mbaya zaidi Mawasiliano yetu na wao sio mazuri na hatukutaka haya mambo yafike kwenye Vyombo vya Habari, lakini kinachofanyika sasa ni sisi kuwafuata wao, lakini ilitakiwa wao watufuate sisi.
.
“Hii ni kama tunawambeleza juu ya malipo ya Abuutwalib Mshery. Tunaendelea kuwasubiri na tutakuwa wapole, lakini hawajafanya vile ambavyo tulitarajia. Mtibwa Sugar tumetoa vijana wengi kwenda Yanga, kikubwa watazame makubaliano yetu na wao yanasemaje" - Thobias Kifaru (Msemaji wa Mtibwa Sugar)
.
WANANCHI mmesikia mnadaiwa __!!
Screenshot_20220302-110352_Instagram.jpg
 
Kwenye mechi 5 zilizopita za Coastal Union, wamepoteza mechi nne na kupata sare moja! Kati ya alama 15 ambazo walikuwa wanazipigania, wameambulia alama moja, alama 14 wamezidondosha!
Screenshot_20220302-111140_Instagram.jpg
 
Nyota wa Atletico Madrid, Hector Herrera atajiunga na Dynamo Houston ya Marekani mwishoni mwa msimu huu baada ya mkataba wake na Los Rojioblancos kutamatika

Bado maswali ni kama atapata nafasi ya kuiwakilisha Mexico kwenye kombe la dunia akiwa anatokea MLS (Ligi ya Marekani) wakati huo baadhi ya Mastaa walikosa nafasi baada ya kujiunga na Ligi hiyo
Screenshot_20220302-111750_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom