Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220221-080401_Instagram.jpg
 
HUYU KAPOMBE NOMA !!
.
️ vs ASEC MIMOSAS
vs US GENDERMARIE
.
Mechi 2 kahusika katika mabao Matatu. ON FIRE
Screenshot_20220221-080453_Instagram.jpg
 
BARBRA: KILA KITU KIKO TAYARI MOROCCO
.
CEO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye tayari yupo nchini Morocco amesema mambo yako sawa ili kuhakikisha timu inaenda kufanya vizuri ugenini.
.
Amefafanua kuwa wamefanya uchunguzi na tayari wamekamilisha suala la usafiri, sehemu ya kufikia na chakula.
Screenshot_20220221-082955_Instagram.jpg
 
MBIO ZA UBINGWA NBC 21/22
.
1. YANGA — 36*
2. SIMBA — 31
3. AZAM FC — 24
.
WANANCHI wakishinda kesho Azam kwenye mbio za Ubingwa ndo Basi tena __!!
Screenshot_20220222-184044_Instagram.jpg
 
| Nasreddine Nabi:

“Tuna wachezaji hapa tumewaleta baadhi bado hawajafanya kile tulichotajia ingawa hatujakata tamaa, tukiwa mazoezi wamekuwa na ujasiri mkubwa wa kufanya mambo ambayo utafurahi lakini wakiingia katika mechi sijajua wanaogopa mashabiki wanacheza chini sana.”
Screenshot_20220222-184618_Instagram.jpg
 
Mwakalebela: Top 10 Afrika Tunaingia
.
“Sasa tunataka tuwe katika nafasi 10 bora Afrika, huko chini tumeshavuka. Watanzania bila kujali ushabiki tuendelee kuiombea Yanga ili izidi kufanya vizuri kwa msimu ujao tutaibebe nchi kimataifa na malengo yetu ni kuhakikisha tumeingia katika vilabu 10 Bora Afrika.”
Screenshot_20220222-185045_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom