Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Panya road wakikuibia simu ndo utapata akiliHapa napumulia juu juu kama nimekabwa shingo na kibaka. Soda utanunua mwenyewe hii.
Hahaha we mzamiaji niniNi kweli ubwabwa wa kuzamia ni mtamu hataree
![]()
![]()
Na wewe ni mzamiaji![]()
![]()
![]()

Ndio WAARABU WA TANGA waliobaka Simba Uwanja wa Taifa
Wewe, huu mziki mwingine kabisaPanya road wakikuibia simu ndo utapata akili
![]()
![]()
![]()
........
Mbona hukualika watu sasa umeenda kula peke yako??Jirani anamuoza binti yake usiku huu nimetoka kupiga mpunga kitu wali machafu na wali wa maji kachumbari kwa mbali nyama za hapa na pale. Ni balaa
Basi karibu watu watafunga, hiyo ndo alama kubwaKuna binti ameolewa mda huu sasa nimetoka kupiga mpunga. Nimeshiba sana
Duuuh hii noma sasaMbona hukualika watu sasa umeenda kula peke yako??
Mbona hukualika watu sasa umeenda kula peke yako??
Jimena my, Ile lugha ya malkia si unaiweza ???Jamani tusaidianeni kidogo hapa. Ni Namna gani ni nzuri ambazo unaweza kuzitumia kumuuliza rafiki yako kama ataweza kukupenda siku za usoni {je utanipenda?} na mkawa wapendanao wa ukweli kabisaa.?
NB:Namna ninazomaanisha hapa ni zile za kimbinu zaidi(kimombo:tactical)
Namaanisha, karibuni kwa michango kwa lugha zote.
Wewe, huu mziki mwingine kabisa
Hahaha mule mule. Unakaribia ule mweziBasi karibu watu watafunga, hiyo ndo alama kubwa
Unanichukulia poa eeh.![]()
Kifua chenyewe km ubao wa kamari halafu unashindia BIG G
![]()
![]()
![]()
...........
Hahahah sasa huko unapoenda sio sasa
Hahaha hapanaWifi ulikuwa nae??
Cc lizziebettie