Makapuku Forum

Makapuku Forum

Halafu Bitoz kwanini hamkuwanunua Esperanca game ipigwe national stadium kama mlivyofanya kwa Ndanda
be4f45e4ddc3d8c46a0b9ae1acc1cc94.jpg

Because hatuhitaji wasimamisha mikia

..........
 
Jamani tusaidianeni kidogo hapa. Ni Namna gani ni nzuri ambazo unaweza kuzitumia kumuuliza rafiki yako kama ataweza kukupenda siku za usoni {je utanipenda?} na mkawa wapendanao wa ukweli kabisaa.?

NB:Namna ninazomaanisha hapa ni zile za kimbinu zaidi(kimombo:tactical)


Namaanisha, karibuni kwa michango kwa lugha zote.
Jimena my, Ile lugha ya malkia si unaiweza ???

Msaidie huyu ndugu mistar ya kumsomesha rafiki yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom