Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tukutane saa saba kamili
Screenshot_20220114-122953_Instagram%20Lite.jpg
 
"Tunawapongeza Simba kwa kuchukua kombe la Mapinduzi bahati mbaya tumetoka hatua ya nusu fainali ni changamoto ambayo tumeichukua tunaendelea na mapambano katika mataji mengine, klabu kama Yanga haiwezi kukosa malengo ya mataji tayari tuna ngao tunarudi kwa nguvu kuliko hapo kabla"

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mazingisa akizungumza na Mwananchi Digital
Screenshot_20220114-123223.jpg
 
"Kuhusu usajili tunaendelea kuboresha kikosi na hivi sasa nashughulikia usajili mkubwa ambao utashtua utakaokuja kutuongezea thamani zaidi uwanjani, tunakamilisha mambo ya mikataba na klabu itatangaza"

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mazingisa akizungumza na Mwanaspoti.
Screenshot_20220114-123223.jpg
 
“Hatutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu Mwenyekiti kwenye muundo mpya wa klabu ya Yanga,” Senzo

“TFF wametupa miezi sita kufanya kile ambacho kipo kwenye katiba yetu mpya”, Senzo

“Kila Mwanachama wa Yanga anatakiwa awe na tawi lake, huwezi kuwa mwanachama kama hauna tawi na ndio maana unatakiwa ujisajili kwenye tawi,” Senzo

“Tunaleta kampuni maalum yenye weledi itakayokuja kutupa thamani halisi ya klabu na sio ile ya uongo ili kuleta picha halisi ya mabadiliko tunayokwenda kuyafanya”, - Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mazingisa
Screenshot_20220114-123223.jpg
 
Club ya Simba imetangaza kurejea tena kikosini kwa Kiungo Mshambuliaji kutoka Zambia Clatous Chama akitokea RS Berkane ya Morocco alikokwenda huko miezi mitano iliyopita.

alijiunga na Simba mwaka 2018 na kuondoka mwaka 2021 kabla ya kurejea Simba na kutambulishwa rasmi leo ambapo bango kubwa lililotolewa na Simba likiwa na picha ya Chama linasomeka “Karibu nyumbani, Welcome home”

Chama aliondoka Simba SC August 13 2021 na kujiunga na Club ya RS Berkane ya Morocco na sasa anarejea baada ya kudaiwa kushindwa kuzoea mazingira nchini Morocco.
Screenshot_20220114-131849_Instagram.jpg
 
Club ya Simba imetangaza kurejea tena kikosini kwa Kiungo Mshambuliaji kutoka Zambia Clatous Chama akitokea RS Berkane ya Morocco alikokwenda huko miezi mitano iliyopita.

alijiunga na Simba mwaka 2018 na kuondoka mwaka 2021 kabla ya kurejea Simba na kutambulishwa rasmi leo ambapo bango kubwa lililotolewa na Simba likiwa na picha ya Chama linasomeka “Karibu nyumbani, Welcome home”

Chama aliondoka Simba SC August 13 2021 na kujiunga na Club ya RS Berkane ya Morocco na sasa anarejea baada ya kudaiwa kushindwa kuzoea mazingira nchini Morocco.View attachment 2080746
Hayawi hayawi sasa yamekuwa
Karibu tena mwana wa Lusaka .
 
Farhan Jr

"KWANZA CHAMA HAWEZI KURUDI SIMBA, NI NDOTO ZA MCHANA"

Biblia inasema kupitia

MITHALI 3:34

"Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema"

LENGO LA SOMO:

Kutengenezeana Heshima
Kumuona mwenzako kuwa bora kuliko wewe
Kupeana nafasi katika huduma
Kuinua karama zilizofifia
Kujua kwa nini wewe hukuumbwa peke yako

Screenshot_20220114-131849_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom