Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Happy new year to you too dear

Happy new year to you too dear

Karibu sana dear tusubiri kumpokea chama
Hayawi hayawi sasa yamekuwaClub ya Simba imetangaza kurejea tena kikosini kwa Kiungo Mshambuliaji kutoka Zambia Clatous Chama akitokea RS Berkane ya Morocco alikokwenda huko miezi mitano iliyopita.
alijiunga na Simba mwaka 2018 na kuondoka mwaka 2021 kabla ya kurejea Simba na kutambulishwa rasmi leo ambapo bango kubwa lililotolewa na Simba likiwa na picha ya Chama linasomeka “Karibu nyumbani, Welcome home”
Chama aliondoka Simba SC August 13 2021 na kujiunga na Club ya RS Berkane ya Morocco na sasa anarejea baada ya kudaiwa kushindwa kuzoea mazingira nchini Morocco.View attachment 2080746

Farhan Jr
Kutengenezeana Heshima
Kumuona mwenzako kuwa bora kuliko wewe
Kupeana nafasi katika huduma
Kuinua karama zilizofifia
Kujua kwa nini wewe hukuumbwa peke yakoAhsante Dear..Karibu sana dear tusubiri kumpokea chama

Nyieeee leo kama kuna shabiki wa yanga humuasipite tu leo ni habari za simba na chama tu mengineyo ni kesho





Nyieeee leo kama kuna shabiki wa yanga humuasipite tu leo ni habari za simba na chama tu mengineyo ni kesho



Kwetu rahaaaaaa


mwaka huu mashabiki wa simba tunanenepa tu
Kwakweli wasubirie kesho tu
Noma sanaKwakweli wasubirie kesho tu