

Farhan Jr
MOSES PHIRI TRANSFER DEAL
- Kama nilivyiripoti awali kuhusu Moses Phiri wa Zambia, ni kuwa Simba tayari wameingia nae makubaliano ya awali ( Pre contract) Ili ajiunge nao mwishoni mwa msimu
- Kwanini Simba walisaini nae makubaliano na kumuacha Zambia? Well ni kuwa Bench na Viongozi wanaamini kikosi kilochopo kinaweza kupambania ubingwa na FA
- Kibiashara wanaona ni hasara kuwa na Clatous Chama na Moses Phiri wote hawachezi Confederation Cup, huku wakiwatumia kwenye NPL na FA pekee
- Hivyo wamecheza nusu kumpa mkataba wa awali Phiri Ili next season aje kucheza michuano yote wakati Chama anaingia katikati ya msimu huu
-Nimejaribu kuuliza kama Mchezaji ana pre contract Kuna uwezekano akabadili maamuzi? Watalaam wa Biashara ya mpira wameniambia inawezekana kama amepokea Ofa kubwa zaidi, pre contract sio contract kamili
- Nikajaribu kuuliza vyanzo kadhaa nchini Zambia kama Phiri anaweza kujiunga Yanga? Kati ya watatu, wawili wamesema Phiri safari yake ni Simba na hawaoni akienda Yanga huku Mmoja akiacha 50/50
- Lakini Kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya awali ninavyoamini ni kuwa akili ya Moses Phiri ni kujiunga na Simba mwishoni mwa msimu na muda wote ilikuwa YES kwa Simba huku Wazambia wenzake wakichagiza
- Nilichukua muda kupost tena hii taarifa kwakuwa vyanzo vyangu nao walikuwa wanajiridhisha kuhusu issue ya Yanga kama Ina ukweli, ila wamesema HAIPO