Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220108-071554_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220108-071613_Opera%20Mini.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza la Mawaziri ambapo kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amemteua Dr. Anjelina Mabula kuwa Waziri huku Naibu Waziri wake akiwa Ridhiwani Kikwete, hapo kabla Waziri alikua William Lukuvi.
Screenshot_20220108-175819_Instagram.jpg
 
Rais Samia amemuhamisha Waziri Innocent Bashungwa kutoka Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo na sasa atahamia Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Screenshot_20220108-180141_Instagram.jpg
 
Rais Samia amemuhamisha Mohamedi Mchengelwa kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora amehamishiwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Screenshot_20220108-181201_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom