Anaitwa Cheikh Ahmed Tenena Moukoro, akifahamika zaidi kama Cheikh Moukoro, raia wa Ivory Coast
Yupo kwenye majaribio ndani ya Klabu ya Simba, ikitokea amecheza vyema basi atapewa kandarasi ndani ya Msimbazi
Amewahi kupita kwenye klabu kubwa kama Asec Mimosa ya Ivory Coast, Al Hilal Obeid, Al Hilal ya Sudan na Al Masry ya Misri, amewahi pia kucheza soka nchini Iraq
Ni winga ya Kushoto hii, ngoja tuione leo kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup