Makapuku Forum

Serikali ya Korea Kaskazini imetoa agizo kwa raia wake kuwa hawaruhusiwi kucheka, kununua au kunywa vilevi au kuonesha kiashiria chochote cha furaha ndani ya siku 11 kuelekea kuadhimisha miaka 10 ya kifo cha Kim Jong II aliyekuwa baba wa Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.

Kim Jong II alikuwa rais wa Korea Kaskani kuanzia mwaka 1994 hadi 2011alipofariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa na umri wa miaka 69,

Nafasi yake ilichukuliwa na mtoto wake wa tatu Kim Jong Un ambae ndiye rais wa Taifa hilo kwa Sasa.
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…