Sio tu Serikali ya Marekani imetangaza kuzuia kuingia nchini humo Wasafiri kutoka Mataifa 8 ya Afrika ikiwemo Afrika Kusini kuanzia Jumatatu November 29 2021 kutokana na aina mpya ya kirusi cha corona kuibuka South Afrika kikitwajwa kuua Watu kwa kasi, ninayo list ya Nchi zote ambazo mpaka sasa zimetangaza zuio kwa angalau Nchi 6 za Afrika kati ya hizi 8 ambazo Botswana, Zimbabwe, Namibia, Lesotho, Eswatini, Msumbiji na Malawi.
Nchi hizi 16 ni Marekani, Italy, Austria, France, Japan, Uingereza, Singapore, Netherlands, Malta, Malaysia, Morocco, Philippines, Dubai, Umoja wa Falme za kiarabu, Jordan, Guatemala na Switzerland.
Mpaka leo mchana kulikua na Wagonjwa 59 waliogunduliwa kuwa na kirusi hicho kipya kiitwacho B1.1.529 nchini Afrika Kusini, Hong Kong na Botswana.