Kampuni ya simu za mkononi ya Apple inatarajia leo hii kuonesha matoleo mapya aina nne ya Iphone 13 ambayo ni iPhone 13 mini, iPhone 13, iPhone 13 Pro na iPhone 13 Pro Max.
Hata hivyo imeelezwa kwamba hakuna matarajio makubwa ya mabadiliko kwenye muonrkano wa simu hizi mpya bali mabadiliko makubwa yanayotarajiwa ni processor yenye spidi zaidi, camera yenye picha nzuri zenye ubora zaidi na betri ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu.
Apple pia iatarajiwa kutambulisha aina mpya ya apple watch ambayo itakua na kioo kikubwa tofauti na sasa, pia inatarajiwa wataonesha aina mpya ya airpods pro, iPad na Macbook.
View attachment 1937421