RIVERS UNITED WAGOMA KUINGIA VYUMBANI
Wachezaji na viongozi wa Rivers United wamegoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa na badala yake wakataka kubadilishia nguo kwenye eneo la MIX ZONE
Stewards wa uwanja wa Benjamin Mkapa wakawaelekeza wasibadilishie nguo eneo hilo, waingie vyumbani hapo ndipo mabishano yakaanza!
View attachment 1934901