“Kuhusu elimu kuna kazi kubwa bado iko mbele yetu, bado kuna Shule zina Wanafunzi wengi kuliko idadi ya madarasa na zipo zinazogawa mikondo ili wengine wasome asubuhi na wengine wasome mchana, hii inapunguza muda wa Wanafunzi kusoma”———MWIGULU
#BAJETI2021