Nmerudi shunieEbu njoo kwanza baba wawili mbona unakimbia sasa
Hahahhaha baba wawili bwanaNmerudi shunie
Lunch yako ilikuwa ni nini shunie?
Ukiwa unampa vijembe ex wako juwa bado unampenda sana halafu mwenzako ameshakusahau kabisa hata kwenye mawazo yake haupo
Alisikika mlevi mmoja huko nimecopy na kupaste tu![]()
Hahhahanataka tu nijue shunie
HahahahaHahhaha
Nimetoka kula chips na mishkaki hapa baba wawili



Hahahaha mirinda nyeusi ndio nimetoka kuimalizia hapa baba wawiliHahahaha
Hiyo chips yai itakuwa ulimwambia mwamba asiikaushe sana,ndio maana unatema madini
Agiza na mirinda baridi, nalipa uzidi kuleta mambo hapa![]()
Hahahahah uko vizuri shunieHahahaha mirinda nyeusi ndio nimetoka kuimalizia hapa baba wawili
Sanaaaa baba wawiliHahahahah uko vizuri shunie
AiseWatu mmeshaachana kila mtu na mambo zake mwenzio yupo na mahusiano yake huko wewe kila siku vijembe vya nini jamani kila mtu abalance shobo zake
Ukiona unafanya vyote hivyo bado unampenda cha kukusaidia kunywa kojo umsahau kabisa
Alisika mlevi mmoja