tumezipokea salaam.. tutaamka keshoCHELSEA IMETINGA FAINALI YA UEFA
Mashabiki wa Chelsea nawasalimia popote pale mlipoView attachment 1774988
mama anatupeleka penyewe
waleteeeeeeeee utopoloooo
hawa BASATA“Nimefikishiwa maoni mengi na Wadau mbalimbali kuhusu agizo la Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kuhakiki kazi za muziki kabla hazijatoka na inaonekana BASATA wanaona ni njia ya kuboresha kazi na kulinda maadili”
“Wadau nao wana hoja kwamba huko ni kuleta urasimu usio na lazima, tutalimaliza hilo hivi ———> siku ya Jumamosi May 8 2021 Waziri wetu Innocent Bashungwa na mimi tutakaa kuwasikiliza BASATA na Wawakilishi wa Wasanii hoja kwa hoja kisha tutatoa uamuzi wa papo kwa hapo, hili limeisha” ——— Katibu Mkuu Wizaya ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Hassan Abbasi View attachment 1775004
Ahsante Shunie kama kawa...CHELSEA IMETINGA FAINALI YA UEFA
Mashabiki wa Chelsea nawasalimia popote pale mlipoView attachment 1774988
Tutaona ndani ya dakika 90...Hahahhaha ila naona kama fainali hamtoboi
Hahahahha tubet tenaTutaona ndani ya dakika 90...
Tukishinda unanipa nini tu-bet...
Tukuwafunga nyie Man City utanipa nini? 😉Hahahahha tubet tena
Hivi ni man u au cityTukuwafunga nyie Man U utanipa nini?![]()
Jibu swali...Hivi ni man u au city
Hahaha ngoja nije nikujibu kule kama kweli unataka tubetJibu swali...