Mwanaume mmoja kwa jina la Ma Van Nhat raia wa Vietnam, mwaka 2017 alienda hospital baada ya kusumbuliwa na tumbo muda mrefu. Baada ya kufanyiwa vipimo aligundulika ana mkasi tumboni ambao ulisahaulika alipokuwa amefanyiwa upasuaji.
Upasuaji huu ulifanyika baada ya kupata ajali ya gari mwaka 1998 na bila Kujua wakasahau mkasi tumboni. Mkasi huo ulikuja kugundulika na kutolewa miaka 18 baadaye, mwaka 2017 siku alipoenda hospitali. Mkasi ulikutwa ukiwa na kutu.
View attachment 1770597