Makapuku Forum

Ilikuwa hivii.. Walipofika hawakumkuta mtu waliyemtarajia ambaye alikua anaitwa Sogen Kato, baada ya kuwahoji Wanafamilia na kuwalazimisha kufungua vyumba vingine ili kuhakikisha kama kweli hayupo, Mjukuu wake wa kike alieleza kwamba Mzee Kato ametoa maagizo kwamba hataki kuonana na mtu yeyote.

Ndipo baadae maofisa wakaingia kwa nguvu na kukutana na mabaki ya mwili ya Mzee Kato yaliyovalishwa nguo na kufunikwa na shuka.
 
Katika mradi huo uliopewa jina la THAT FACE ilikuwa kama una sura nzuri yenye mvuto unaenda unaingia makubaliano na kampuni hiyo ndipo unalipwa pesa yako.

Pia ikiwa kama kinyago chako kitathibitika kupendwa na wateja wengi basi utaitwa na kupewa pesa mara mbili zaidi.
 
Hufanya hivi kama njia ya kumkumbuka mwanzilishi wa Sufi, Moinuddin Chishti na pia kuonyesha uadilifu na kujitolea kwa imani yao.

NYONGEZA: Imani hii ya Sufi imekua ikipingwa vikali na waumini wa kiislamu (pure Muslims) kwa kusema kuwa hao sio waislamu na wala kwenye uislamu hakuna imani ya hivyo ila wao wenyewe wamekuwa wakijichukulia kama waislam wenye imani kali io ya Sufism.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…