Hii ndio nusu fainali ya UEFA Champions League 2020/21, mechi za kwanza zitachezwa April 27 na marudiano ni May 4 #UCL
Smart911 nishabikie team yakoView attachment 1752674
Hahaha kama sijaelewa hiviSiku hiyo tutashabikia wote pamoja...
Kama ile mechi ya Simba na nani tena vile... 😉Hahaha kama sijaelewa hivi
Kama ile mechi ya Simba na nani tena vile...
Ewaa kumbe unakumbukumba vizuri...Nimecheka
Kama simba na as vita
Haahahaa nacheka mimiEwaa kumbe unakumbukumba vizuri...
Na lea tena...Haahahaa nacheka mimi
Mh si umenikataa weweNa lea tena...
Nakukataaja sasa... naanzia wapi kukukataa... mimi nani mpaka nikukatae pisi kali...Mh si umenikataa wewe
Nakukataaja sasa... naanzia wapi kukukataa... mimi nani mpaka nikukatae pisi kali...