Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr.John Pombe Magufuli tayari amezikwa kwenye makaburi ya Familia nyumbani kwao Chato leo Ijumaa March 26,2021.View attachment 1734984
Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr.John Pombe Magufuli tayari amezikwa kwenye makaburi ya Familia nyumbani kwao Chato leo Ijumaa March 26,2021.
Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dr.John Pombe Magufuli tayari amezikwa kwenye makaburi ya Familia nyumbani kwao Chato leo Ijumaa March 26,2021.View attachment 1735001
Mjane wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Janeth Magufuli akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Hayati Magufuli muda mfupi baada ya maziko yaliyofanyika kitaifa Chato leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli Chato leo.
Watoto wa Hayati Dr. John Pombe Magufuli wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yao, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli Chato leo.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete na Mkewe Salma Kikwete wakiweka Shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Chato leo.