😉😉Sio sasa hivi bwana nichokoze kule
Mida fulani hivi basi ya jioni nitakuchokoza kule... 😉Sio sasa hivi bwana nichokoze kule
Nipo nasubiriMida fulani hivi basi ya jioni nitakuchokoza kula...
🤗 🤗Nipo nasubiri
Mh!JPM ALIJENGA VIWANDA 8477
"Hayati John Magufuli alikuza sekta ya viwanda kwa kuhamasisha ujenzi wa viwanda vidogo vya kati na vikubwa nchini ambapo Idadi ya viwanda vipya vilivyojengwa katika kipindi cha utawala wake vilifikia elfu 8477" Profesa Palamagamba John Kabudi.
KutokaDodoma
PumzikaBabaView attachment 1731618View attachment 1731619
Mama Janeth leo anahangika sana kwa kulia... hatulii kabisa... yeye analia tuu...Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimfariji mjane wa aliyekuwa Rais Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Janeth Magufuli. View attachment 1731625