Makapuku Forum

wanawake tusipende hela za kuomba mwanaume akikupenda atakupa mwenyewe hapo sasa pa kupewa mwenyewe
sio kila mwanaume anaweza

Wanaume hawachukii kuombwa hela ila wanachukia kuuziwa
unamuomba nani muda gani ni jukumu lako


Halafu na nyie wanaume mnatakiwa mjue wajibu wenu sio mpaka muombwe mjiongeze


Yaani kama mimi siwezagi kuomba kabisa na siku nikikuomba kweli nimeshikika tunaweza kuwa wote kumbe nipo na mashida yangu tu navumilia
kuomba ni kipaji sio kila mtu anaweza

Baba wawili ukuje apa hizi mambo za pesa ndio unazipenda
 
Kwamba huwa unavumilia tu na unakuta uko na mashida yako kibao,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…