Makapuku Forum

Makapuku Forum

...anko, kwa mujibu wa ramli chonganishi ambayo tu ndo kwanza nimemaliza kuiangalia hapa inaonekana kabisa Nigendako siyo ndugu yetu na ana nia mbaya sana na wewe, matatizo unayopitia ya kugonganisha wanawake kila mara na hujifunzi yeye anayafurahia badala ya kukusaidia.

Sasa tunafanyaje anko? Leo ni furahiday, hapa njoo pa siku ile ila usije na yule mwanamke MC maana anaongea sana alitaka kugombana na teller wako bila sababu za msingi.

Mengine jiandae maana mganga katoa masharti ya kimkakati
Asante anko binamu kwa hii taarifa muhimu,sikujibu kwa wakat sababu ya kesi uliyonileteaa na uache hii tabia ,na mm mama ntilie wako nmemwambia sio kweli ulikuwa haujasafiri ila uliamua kumchunia ajilipie kodi kwanza
 
20210130_082830.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom