Povu moudacha tutumie tu hata kama hatujui kutafuta kikubwa uhai


Nalazimika kumwaga povu

Labda kwakuwa sihangaiki sana na hao watu ndiyo maana nakosa mengiHahahha haujawahi kukutana nao

Cheusi mangala, kibonge, mtoto mlito, kiboko yaopotea kabisa unaambiwa usingoje kusifiwa jisifie mwenyewe ndio mimi kibonge cheusi mangala


Ilikuwa Misri ya Mfalme Ramesses aka Firauni.
Stress anazitoa wapi wakati akiamka anawaza kuchakura mitaani apate chakula!
Siyo kundi uhalifu tena, ni kundi la kusaidia jamii iliyopatwa na majanga
Zitakuwa za mapenziStress anazitoa wapi wakati akiamka anawaza kuchakura mitaani apate chakula!
Hahha ukipotea njia tutakurudishaCheusi mangala, kibonge, mtoto mlito, kiboko yao
Naogopa kupotea njia
HahhahahahaNalazimika kumwaga povu
Maana kuna mtu mmoja anapenda matumizi lakini kwenye kutafuta anapata zero