Jeshi la Polisi limesema limebaini uwepo wa Wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa kufungua Maduka madogo na wengine kufanya biashara zao kwenye maghala bila kulipa kodi hivyo Jeshi hilo kwa kushirikiana na TRA watafanya msako Nchi nzima wa wakwepa kodi na wanaokaidi kutumia mashine za EFD.
“Tutafanya msako pia kwenye maghala tukikuta Watu wanafanya biashara huko na kukwepa kodi watakabiliwa na makosa ya utakatishaji fedha, uhujumu uchumi na ukwepaji kodi”
View attachment 1671392