MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Sisi wazima tuHamjambo
Sisi wazima tuHamjambo
Umetukosea sanaa kwenye ubinafsi hatupo kabisa ebu rudieni tena mmetukosea sanaaa ubinafsi na kutangatanga na sisi wapi na wapi View attachment 1666246




Uncle heri ya mwaka mpyaAaaah hujitendei haki bwana.....![]()
![]()
![]()
Hahha juu uko dear pandapanda
Babe herufi e iko wapi
Fika kwenye post no 384117 utakutana nayoUncle heri ya mwaka mpya
Habari za siku
Na kwako pia kamanda, mimi niko salama kabisa!Uncle heri ya mwaka mpya
Habari za siku
Aseee,Umetukosea sanaa kwenye ubinafsi hatupo kabisa ebu rudieni tena mmetukosea sanaaa ubinafsi na kutangatanga na sisi wapi na wapi View attachment 1666246
Happy New Year MkuuNa leo mkesha tena au ???
![]()
Hapo kwenye kusahau mbona mm najaribu nashindwaa😂😂😂😂
Kwenye kujiona wako sahihi hawajakosea😂😂😂😂Umetukosea sanaa kwenye ubinafsi hatupo kabisa ebu rudieni tena mmetukosea sanaaa ubinafsi na kutangatanga na sisi wapi na wapi View attachment 1666246
Ooh kumbeKwenye kujiona wako sahihi hawajakosea![]()
Basi ni vyema uncleNa kwako pia kamanda, mimi niko salama kabisa!
Hahaha
Oohh
Hahaha
Halafu kuna kaukweli nikikumbuka ile changamoto uliyohakikisha mpaka umeimaliza




Am zere zere madame
Mmh
Babe mimi jina langu mbona halianzii na e kuna mtu tu nilikuwa namuangalizia
Happy New Year Karma
Oohh
Mkuu mambo huwa yanabana kidogo, lakini tuko pamoja.Basi ni vyema uncle
Umetukimbia kule kijiweni kwetu