Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
.,tafadhari sana anko, yaani mchanga kabisa unalamba!!!? Unamtaka nini aunt yanguYaaan ata ukisema mchanga ni sukari nalambaa
.,tafadhari sana anko, yaani mchanga kabisa unalamba!!!? Unamtaka nini aunt yanguYaaan ata ukisema mchanga ni sukari nalambaa
Nakusalimia sana binamu, sikukuu njema pia kwakoMkuu unapambana
Nilisahau ankooMerry Christmas anko. Ubaya wetu tunautunza hadi sikukuu ziishe, tuanze kutafutana kwenye kukwepa rent
Shukran anko .....@ABJ msalimie sana na mwambie Husna Muba salam uwa nazipataMakapuku Forum, ndugu yenu kabisa ambaye yeye kila siku ni sikukuu anawatakia Krismasi njema 2020.
Asante binamu na kwako pia nafurahi kusikia upo mzimaAsante aunt, nakutakia sikukuu njema wewe na family yako
Makapuku Forum, ndugu yenu kabisa ambaye yeye kila siku ni sikukuu anawatakia Krismasi njema 2020.



Unataka kuja binamuLa Chazz ndo wapi? Huu mwaliko haunihusu!?
Shukran anko .....@ABJ msalimie sana na mwambie Husna Muba salam uwa nazipata
Mama mchungaji najua ulimkataza mwaka mzma asiinge jf hope mwakan tutakuwa nae
Unataka kuja binamu
Unataka kuja binamu
Mama mchungaji amnyongeeUnataka kuja binamu
Msalimie sana ndo maana ulikuwa hupatikan....aisee, kwani nimekukosea nini anko sikukuu hii!? Asubuhi hii nimeamka na mama mchungaji, alikuja tukawa na maombi ya mnyororo huku nimepiga k-vant yeye anakunywa juice ya ukwaju.
Swala la bucket sio la kuuliza binamu ukuje....ikiwezekana nakuja, kuna mambo mazuri ya bucket
Na kwako pia kipenziMerry Christmas wapendwa..![]()

Asante sana binamu,hope ni mzima wa afya, sikukuu njema na kwako piaNakusalimia sana binamu, sikukuu njema pia kwako
Vinc jamani kwa nini unabadilika badilika hiviHeri ya Krismas Mamaa