Makapuku Forum

Makapuku Forum



Ila baba wawili nakupenda sana kwa mambo zako

Yaani nishamuunda baba wawili wangu huku nilipo

Mungu azidi kukupa maisha marefu sana juwa tu shunie anakupenda sana
Hahah

Tucheke tufurahi pamoja shunie, maisha yenyewe mafupi haya

Nakupenda pia shunie, hauna baya na mtu

Umemuumba vipi huyo baba wawili shunie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom