Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makubwa haya

Kwahiyo umeshahamia yanga
Ulisema jez zao nzur lakin
Jez nzuri sana sasa inahusiana na nini na team kufungwa kwamba usivae jez sababu team inafungwa
Na azam wana jez nzuriii
Nakutumia picha
Mimi sitaki jamani we vaa tu me navaa jez ya simba na mau u tu basi
Nyie watu ...mmenichekesha sana kwa conversation zenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom