Wewe unaoga mara ngapi kwa siku?
•
"Ninajihisi vizuri kabisa ," " Unazowea tu" dokta James Hamblin alipoulizwa anajihisi vipi baada ya kuishi bila kuoga kwa kipindi cha miaka mitano !
•
Hamblin 37, ni mtaalamu aliyesomea taaluma yake katika chuo kikuu cha Yale University kitengo cha huduma ya afya ya umma na ni daktari bingwa wa tiba ya kuzuia magonjwa.
•
"Unapooga kwa sabuni ya nguvu kila wakati, unaharibu bayoanuwai ya mwili wako.
Vimelea huongezeka haraka, lakini bayoanuwai hii haiwiani na ile asili ambao hutengeneza harufu ya mwili ,"alielezea katika taarifa yake.
•
Je mwili hautanuka mtu asipooga?
•
"Ninafahamu watu wengi ambao wanaoga mara chache sana. Nilifahamu kuwa inawezekana , lakini nilitaka kujaribu ili nione kutooga kutakuwa na athari gani ."
'' Baada ya kutooga muda mrefu mwili unazoea zaidi na zaidi kwahiyo haunuki vibaya usipotumia sabuni au manukato ."
"Na mwili wako haupati mafuta unapoacha kutumia sabuni kali ."
"Lakini la kubwa la kuelewa ni kwamba inachukua muda kuona athari hizi, hazijitokezi haraka, sio mara moja ."
•
Haya wangwana, Swali.....
Kama kuoga ndio usafi
kwanini taulo huchafuka?
.
.