Hahaha unatoa siri za kambi mjomba, vungaKwan vibayaa kukumbushana au unataka nikuchekeshee na ile ya mhudumu wa lodge wako
Wooooooiiiiii
makazi mapya shunie mimi wapi huko we baba wawili natafuta sponsor wa kunihamisha



aisee,ushanisahau eeh, mimi ndiye yule dereva wa ile canter tuliokuja kukuhamisha 