Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mapumziko mema Wanajukwaa kuelekea weekend ya kwanza baada ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani.

Tanzania ni ya watanzania wote, vyama ni vya wanachama.

Mungu atusimamie na akili zetu zitangulie mbele ya tumbo
 
Happy furahiday wanaJukwaa, ndugu yenu nipo nafurahia maisha maana hata nikiyakasirikia haisaidii kitu

Zaidi nafurahi mara zote kuja hapa na kukujulia hali wewe unayechukua time yako nawe kutembelea hapa

 
Najua internet bado imebinywa na hakuna ubishi kuwa mamlaka za juu ndo zinataka hii hali kwa sababu waovu siku zote wana hofu.

Kuna watu na hasa vijana ambao maisha yao yanategemea internet na hasa social media, kuibinya kwa utashi tu wa kisiasa ni kurudishana sana nyuma kwa faida ya wanasiasa wachache.
Anyway, inkaribia Ijumaa na mara zote i like it to be the easy one
 
Najua internet bado imebinywa na hakuna ubishi kuwa mamlaka za juu ndo zinataka hii hali kwa sababu waovu siku zote wana hofu.

Kuna watu na hasa vijana ambao maisha yao yanategemea internet na hasa social media, kuibinya kwa utashi tu wa kisiasa ni kurudishana sana nyuma kwa faida ya wanasiasa wachache.
Anyway, inkaribia Ijumaa na mara zote i like it to be the easy one
Shikamoo ankooo
 
Shem joy amenileteaa kesiii kubwa sana

...ha hahaha muache alete kesi tena kabla ya kuja kwako kuleta mashtaka alisema anaenda kwa wakili bwana Bob, sasa ukiangalia ni kweli ilitokea ila hana ushahidi wa kunikamatisha zaidi ya maneno ya kusikia kwa wenye husda

Anko sasa na wewe usije ukaonoa umepata dodo, maana nakumbuka yule dada aliyekuja kukulia umsaidia kuwa amebakwa lakini na wewe ukamuomba mchezo
 
...ha hahaha muache alete kesi tena kabla ya kuja kwako kuleta mashtaka alisema anaenda kwa wakili bwana Bob, sasa ukiangalia ni kweli ilitokea ila hana ushahidi wa kunikamatisha zaidi ya maneno ya kusikia kwa wenye husda

Anko sasa na wewe usije ukaonoa umepata dodo, maana nakumbuka yule dada aliyekuja kukulia umsaidia kuwa amebakwa lakini na wewe ukamuomba mchezo
Anko ya dunia mengi .ujue skuamini kama na mm ipo sku ntakuwa mhanga kama wewe ,huyo achana nae sasa ananiletea kesiii si inabidi nitest validity
 
Anko ya dunia mengi .ujue skuamini kama na mm ipo sku ntakuwa mhanga kama wewe ,huyo achana nae sasa ananiletea kesiii si inabidi nitest validity

...ndo maana mimi nakunywa liquor huku nasikiliza gospel maana uhanga umeamua kukaa kwangu kabisa.
Anyway, wiki bado mbichi kabisa na kalenda inaenda slowly kama nini yaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom