Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,734
Mbonaaa watoaa menoo injeeee
Uncle mbona una hasira sana na mimi?Yaani nimtanie mimi halafu aje kukukomoa wewe?!Hii ni fair kweli?Kwa nini asiniadhibu mimi mwenye makosa,ambae ndiye namtania?!Mbonaaa watoaa menoo injeeee
😂😂😂😂😂😂😂Uncle mbona una hasira sana na mimi?Yaani nimtanie mimi halafu aje kukukomoa wewe?!Hii ni fair kweli?Kwa nini asiniadhibu mimi mwenye makosa,ambae ndiye namtania?!
Ebu niambie nilichomkomoa etiUncle mbona una hasira sana na mimi?Yaani nimtanie mimi halafu aje kukukomoa wewe?!Hii ni fair kweli?Kwa nini asiniadhibu mimi mwenye makosa,ambae ndiye namtania?!
Ohhhhh!!Kumbe ndiyo maana masuala ya mfilisi wa serekali yanakupiga chenga kaka.Ni ofisi nyeti sana ambayo huwa inahusika na kufilisi watu wote wenye kiherehere
Serekali ya Tanzania kupitia ofisi ya mwanasheria mkuu huwa kuna ofisi ndogo inayoitwa mfilisi wa serekali.Hujawahi kuisikia ofisi hii kaka?
OkeiiBwana Lee mimi ni mzima kabisa.Hofu na mashaka ni kwako wewe pamoja na mfilisi wa serekali ambao mpo mbali na upeo wa macho yangu
Hapo anko huna namna, na hawa wakusanya mapato wa polisi hawataki mchezo. Nimeona kosa lako kubwa la kuchepuka umepewa cheti ulipieObe mjombaaaaa huweziiii kunifanyiaa namna ya kudeleteeeeeeee hii kitu ....mengine sijuiiii yalitokeaa wapiiiiiiiiiiiiii
View attachment 1600860
Anko yule mganga wetu hawez kufutaa ?Hapo anko huna namna, na hawa wakusanya mapato wa polisi hawataki mchezo. Nimeona kosa lako kubwa la kuchepuka umepewa cheti ulipie
Alafu ankooo nikirud mjiniii huyo aliendikaa naendaa tunagawana kulipaa make alinioneagaa kwa kufananishaa gar nikamwambia andika ata kumi kumbe akatandikaa mkekaa kweliiii😂😂😂😂😂😂Hapo anko huna namna, na hawa wakusanya mapato wa polisi hawataki mchezo. Nimeona kosa lako kubwa la kuchepuka umepewa cheti ulipie
Hii ankoo ila sikuilewaaa au ulikosea quoteUncle mbona una hasira sana na mimi?Yaani nimtanie mimi halafu aje kukukomoa wewe?!Hii ni fair kweli?Kwa nini asiniadhibu mimi mwenye makosa,ambae ndiye namtania?!
Salama kabisaHabari zenu wapendwa
Muhim sanaTumieni haki yenu.. Mkapige kura..![]()