Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Chief usijee pigaa spanner
Chief usijee pigaa spanner
Chief usijee pigaa spanner


Mkuu nimemwita shem wa Taifa kwa maana ya sifa njema kama vile tulivyo na dada wa Taifa
Sikuaminii weweMkuu nimemwita shem wa Taifa kwa maana ya sifa njema kama vile tulivyo na dada wa Taifa
Mkuu nimemwita shem wa Taifa kwa maana ya sifa njema kama vile tulivyo na dada wa Taifa
Bwana Lee mimi ni mzima kabisa.Hofu na mashaka ni kwako wewe pamoja na mfilisi wa serekali ambao mpo mbali na upeo wa macho yanguBehaviourist swalamaaaa ?
Najuaa ankoo...tumetulia huku Makongolosi tunakula viazi
Naelewaaaa leo umejutaa kumtengaa husna.....anko, punguza sauti mvua zinanyesha
Serekali ya Tanzania kupitia ofisi ya mwanasheria mkuu huwa kuna ofisi ndogo inayoitwa mfilisi wa serekali.Hujawahi kuisikia ofisi hii kaka?Mfilisi ni nan mkuu
Mimi sio mtiziiiiiSerekali ya Tanzania kupitia ofisi ya mwanasheria mkuu huwa kuna ofisi ndogo inayoitwa mfilisi wa serekali.Hujawahi kuisikia ofisi hii kaka?
Ohhhhh!!Kumbe ndiyo maana masuala ya mfilisi wa serekali yanakupiga chenga kaka.Ni ofisi nyeti sana ambayo huwa inahusika na kufilisi watu wote wenye kiherehereMimi sio mtiziiiii
Ikoo kuwa na uongooo weweOhhhhh!!Kumbe ndiyo maana masuala ya mfilisi wa serekali yanakupiga chenga kaka.Ni ofisi nyeti sana ambayo huwa inahusika na kufilisi watu wote wenye kiherehere