Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kindimu changa cha kuchachua[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Mahaba, mahaba yananizidiii [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Tunda komamanga la kupachua [emoji91][emoji91][emoji91]
Tamu zaituni, Tunda la peponi nalila [emoji847]
Gemu ya sakafuni, Tunadundishana kipira [emoji1732]
Napewa penzi sabuni [emoji8][emoji8][emoji8]
Linalontakasa madhila [emoji132]
Huniita honey hayuuni [emoji8][emoji8][emoji8]
Mkali wa tatu bila [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upepo wa pwani

Umenipeleka bara [emoji7][emoji7]
Niongoze usukani

Kwenye penzi barabara [emoji8][emoji8][emoji8]
Wakati wako tambaa [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Ashu ashu (heee), ashua

Na roho zao ziwaume [emoji847][emoji847]
Ashu ashu (heee), ashua

Tuwachome mapaka shume [emoji108][emoji108][emoji108]
Kweliii, mambo mazuri hayataki haraka oooh

Haraka ooo, mhhh [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kwa dua nimesubiri nimepewa nilichotaka ooh

Nilichotaka oooh mhhh [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Penzi niinalinogesha (noga)

Nampa mchicha ale. [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Vinono vya kunenepesha (noga)

Sambusa ya nyama tele [emoji8][emoji8][emoji8]
Kisha namchangamsha (noga)

Namchezea segere [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Mwali kujineng'emusha (noga)

Huku napiga kelele (aah aah aah. [emoji1787]
Wakikuuliza mbona huonekani

Tunacheza solo na zumari ndani. [emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Ehe kuingiza kete shimoni

Tunacheza solo na zumari ndani [emoji8][emoji8][emoji8]
Makopa kopa kwa malavidavii

Tunacheza solo na zumari ndani. [emoji7][emoji7][emoji7]
Yote haya ni kuhakikisha kuwa Lee hapumui?
 
Back
Top Bottom