Huyu Lee ataumia sana... yaani anataka kushindana na binamu wa mtu!! Unamwachaje kwa mfano binamu mwenye sauti tamu mwingi wa mashamsham yasiyoisha hamu kama huyu Shunie nyama ya hamu?!
Huyu Lee ataumia sana... yaani anataka kushindana na binamu wa mtu!! Unamwachaje kwa mfano binamu mwenye sauti tamu mwingi wa mashamsham yasiyoisha hamu kama huyu Shunie nyama ya hamu?!
Huyu Kijana namjuaga mwenyewe huyu, binafsi nishamshindwa! Haya sasa ndugu yangu Kataskopos, hebu ukuje huku umjuze mpwa ako Shunie... una kimeo cha Finca, Bayport, Tala au vimeo vyetu vile vinavyoanzia PM na kuhitimishwa mtaani?!
Kuwa mpole Mkuu, ni kweli nimetumwa na aunt, yaani mamake na binamu Shunie. Aunt nae, eti anataka binamu aje kuishi kwangu kwa muda manake kule mtaani kwao kuna majirani wawili wana coronavirus!