Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mm sikuziwekaa hujuii nimekwazika sana bhas tu...ila hizo AA hazina impacts ni utambulisho wa huduma
Sasa umekwazika mimi ndio nimekukwaza halafu unakuwa mkali kwangu eti nilikuwa nakujaribu kivipiiii hii mada nilishasema jana tuifunge jamani naomba tuifunge acha nipambane na hali yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom