Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Tunanywea nyumbaniSasa hivi kuna Corona ni marufuku kwenda kunywa bia weekend!![]()


Tunanywea nyumbaniSasa hivi kuna Corona ni marufuku kwenda kunywa bia weekend!![]()


HahahahaKwahiyo sauti haitoshi we mzee
Hahahaha, niambie ankooankoo
Nilikuwa nachunga ng'ombe zangu ntuzuland!!.. Mifuko imejaa nakutana na corona mjini!.Mnyantuzu weeh umekuwa adimu sana
Nilikuwa nachunga ng'ombe zangu ntuzuland!!.. Mifuko imejaa nakutana na corona mjini!.


ebu fanya tutumie wote basi hiyo mihela we msukumaTumezuiwa outing njoo tuitafunie ndani ya nyumba tu!😀ebu fanya tutumie wote basi hiyo mihela we msukuma
Tumezuiwa outing njoo tuitafunie ndani ya nyumba tu!😀



we msukuma nimecheka kwa sautiJapo ulimwaga damu na nikaugulia bado majeraha uje uniuguze![]()