Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ni swali tu nimeuliza rafiki!




Pedeshee Lee mutoto ya ng'ombe muzee ya mapesa mingiMletaji ni nani vile?![]()
Ewaaaaaaa....in ...... voiceLee wa shunie
Babe akeee
Roho yangu mimi
Nyong'o mkalia ini![]()
Sijui alipo amejisikiajeeee....wanyoooosheeeeeeeee
wanyoooosheeeeeeeee
Nakupendaaaaaaaaaaaaaaa wewe mtu bhasiiiiii tu






Unaona dongemzee wa churaHakuna rahaa kubwa hapa duniani kama vile kuwa na mpenzi anaekupatia wapenzi kama vile baharia Lee anavyofanyiwa na mpenzi wake!![]()
Amekwama wapi umsaidieeeMakopaaa hadi uombe,unakwama wapi mjombaa
Kuumbe Mama wawili anaitwa Aisha!!!Pole sanaaa kwa hilooo...na wewe aishaa utamuitaa nani shangaz au bibi ?
Siooo huyoooo
Yaaan si bora angekuwa mchepuko? Ni mhudumu wa glocery
Hahahahahaha na ww shem unanifanyia hivo ?