Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Umeshtuka eti!!! Ila si mbaya siku moja moja naweza nikakupa ukitaka....Nimeshakukataa, mimi sitaki kushikwa ugoni!....Shunie amekutaja kama kukukomoa hivi kwa sababu ya lile bomu!
Umeshtuka eti!!! Ila si mbaya siku moja moja naweza nikakupa ukitaka....
Si unajua vyenye vile shoo za ugenini zinavyokuwaga tamu...?!
Siri yako lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa mme ya shunie
Lishukuruni sana lile bomu la Husna kwa kuwa limeimarisha NDOAna yenu!Nipo hapa mme ya shunie
Hahahahahahhha lipi kama lilee achana nalooLishukuruni sana lile bomu la Husna kwa kuwa limeimarisha NDOAna yenu!
Nilipokuwa mdogo enzi hizo nasikia kaka zangu na dada zangu wakiitaja taja makapuku forum Obe alikuwa akimiliki chura ya Husna Muba!Siku hizi amehamia kwingine?
Nilipokuwa mdogo enzi hizo nasikia kaka zangu na dada zangu wakiitaja taja makapuku forum Obe alikuwa akimiliki chura ya Husna Muba!Siku hizi amehamia kwingine?
Lakini si umeniuliza auKwa nini unakuwa mchokozi? Kwa nini unamsaksia mke wa mtu kwangu? Unataka niuawe?!
Mkuu unaumwa jinoMhhhhhhhhhhh
WoyoooooooUmeshtuka eti!!! Ila si mbaya siku moja moja naweza nikakupa ukitaka....
Si unajua vyenye vile shoo za ugenini zinavyokuwaga tamu...?!
Siri yako lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakukataa, mimi sitaki kushikwa ugoni!....Shunie amekutaja kama kukukomoa hivi kwa sababu ya lile bomu!