Makapuku Forum

Anko ujuee mimi na wewe siwez kuwa mbaya kuna mtu anahack simu yangu
 
He'e tatizo gani tena?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko ujuee mimi na wewe siwez kuwa mbaya kuna mtu anahack simu yangu

Nilitaka kushangaa sana kwa kweli, watu wabaya sana. Inawezekana Maria kachukia ulichomfanyia valentine's day ndo akahack.

Jaribu kumtafuta nimekutana naye anatoka kununua 2p aka morning after pill. Alikuwa anauliza kama ninajua kuchomoa mimba.
 
Nilitaka kushangaa sana kwa kweli, watu wabaya sana. Inawezekana Maria kachukia ulichomfanyia valentine's day ndo akahack.

Jaribu kumtafuta nimekutana naye anatoka kununua 2p aka morning after pill. Alikuwa anauliza kama ninajua kuchomoa mimba.
Maria ni wako usiniletee kesiiii...mm hapa nimebakiza ttcl tu na hana sasa ukimpa umenunuaa kesiiii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…