ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Abee..!! Halafu hivi wewe uliachwa au uliachaUsikubali kuachwa kifala weweeeh ukiachwa usiachikeee pambana

Kwamba nimeachwaKwan nmemaanishaaa nini ?
Sijachwa wala sijaacha huwa tunapumzishana tu
Asante dear nilikuwa na msiba nilifiwa na bibi yangu
Ooh pole Sana mamAsante dear nilikuwa na msiba nilifiwa na bibi yangu




Na cha peke yako hakuna dada labda kaburi
Sent from my iPhone using Tapatalk

sawa hakuna cha peke yangu lakini Bora nisione