Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama kuumia tunaumia sote wala usijali ila msema ukweli ni mpenzi wa Allah

Ila swalama kabisa....vipi yule cha kudeka mtoto wa singidaa umemuachia nauli au kesho kesi?

Ka hahahahhaa. Singida tena, kumbe alikujulisha, ila anko mbona unakuwa unaweka kauzibe sana ndugu yangu. Maneno yale uliyomwambia nami nikisema nimwambie aunt tutafika kweli?
 
Kwa wapenzi wa midundo ya South Africa mtakuwa mmesikia kuhusu kifo cha nguli aliyetamba miaka ya 70-80 akiwa mwanzilishi wa kundi la Ladysmith Black Mabanzo.

Nimeumia sana maana kama na wewe ni kijana mwenye mamboya kupenda miziki ya miaka ya 70s basi utakuwa unamfahamu huyu Joseph Tshabalala.

Apumzike kwa amani na fyi, kutokana na kazi yake nzuri kundi lake limefanikiwa kutwaa tuzo 5 za Grammy.

Pumzika mzee mzima Shabalala

merlin_168762288_12a50079-f0ce-468b-9c39-32ff812bb95f-superJumbo[1].jpg
 
Kwa wapenzi wa midundo ya South Africa mtakuwa mmesikia kuhusu kifo cha nguli aliyetamba miaka ya 70-80 akiwa mwanzilishi wa kundi la Ladysmith Black Mabanzo.

Nimeumia sana maana kama na wewe ni kijana mwenye mamboya kupenda miziki ya miaka ya 70s basi utakuwa unamfahamu huyu Joseph Tshabalala.

Apumzike kwa amani na fyi, kutokana na kazi yake nzuri kundi lake limefanikiwa kutwaa tuzo 5 za Grammy.

Pumzika mzee mzima Shabalala

View attachment 1354865
Huyo tshabalala ni kwamba amekufa au halafu yule tshabalala wa simba ndio amechukua jina la huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom