mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
OooooOOOOO..yeeeeaaaaaaaahhhh!Sawa
OooooOOOOO..yeeeeaaaaaaaahhhh!Sawa
Kama kwelii mm ningekua nina UKIMWI (upungufu wa kinga mwilini) ivo uongo
Muone kwanzaOooooOOOOO..yeeeeaaaaaaaahhhh!
Eeenh mimi hapa nione kwanza akiiMuone kwanza
Kama kwelii mm ningekua nina UKIMWI (upungufu wa kinga mwilini) ivo uongo



Usipingane na tafiti
We mzee wake shunie upo jamani humuhumu jf au upo Congo brazzaville au kinshasaAsee ,si mchezo
Ndio ndioSiku zote najua weww ni mlokolee ....![]()
Hahahaha,nipo kote kote ,Mtoto mlito Shunie Rafiki yangu mmWe mzee wake shunie upo jamani humuhumu jf au upo Congo brazzaville au kinshasa
Ebhuuu unimis siku mojaaa kunionaaaNdio ndio
Nikumiss mara ngapi sasa ebu fanya kunikopesha laki kwanza au laki mbili nitairudisha nipo seriousEbhuuu unimis siku mojaaa kunionaaa
Uzi wangu tenaUzi wa shunie..
Nawasalimu
HahahahaEeenh kotekote tena nasikia uko Congo kwenu dhahabu mnanua kama mafungu ya nyanya we mzee wake shunie
Baada ya kunijibu unacheka we mzee bwanaHahahaha





Hahahaha, nafurahi ,hiyo habari ,Baada ya kunijibu unacheka we mzee bwana
Nikumiss mara ngapi sasa ebu fanya kunikopesha laki kwanza au laki mbili nitairudisha nipo serious





hapo hujawa siliasssiii yaaniii ujuee mim nipo hapa sehem ya kuingilia naona dume moja unapopendagaaa kupata vitu vyako mbele kuleeee namuona wa kimo changu cheus kabisa..pemben kuku niende wap sasa mimi 


au nihame location?
Mmh mbona sijaelewa hata dume na wakati mimi nipo zangu jobhapo hujawa siliasssiii yaaniii ujuee mim nipo hapa sehem ya kuingilia naona dume moja unapopendagaaa kupata vitu vyako mbele kuleeee namuona wa kimo changu cheus kabisa..pemben kuku niende wap sasa mimi
au nihame location?