Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nikumiss mara ngapi sasa ebu fanya kunikopesha laki kwanza au laki mbili nitairudisha nipo serious
hapo hujawa siliasssiii yaaniii ujuee mim nipo hapa sehem ya kuingilia naona dume moja unapopendagaaa kupata vitu vyako mbele kuleeee namuona wa kimo changu cheus kabisa..pemben kuku niende wap sasa mimi au nihame location?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom