Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Na shunie..
Wewe na nani eti
Wewe na nani eti
Toa tangazo tu kusubiri kuwa wote watu wamepotea humu
Watu wamepotea watakuwa busy na mambo yao
Wewe nakuogopa sasa hivi umekuwa wa watu sio wa ndugu yangu tenaNa shunie..
Sawa tafuteni bundle salamaLazima tukatafute bundle..! Ntakuwaje online muda wote?
Niko apa mimiMama D
HayaNa shunie..
NakaziaaWewe nakuogopa sasa hivi umekuwa wa watu sio wa ndugu yangu tena
Nakaziaa
Halafu siku hizi kivuli kimekuwa bonge


Eeenh usiniambie umeona wapi nilichungulia uko leo naona zimepostiwa picha kuwa yupo mjini woiii nikasema ndio basi tena huyu sio wetu jamaniNdugu yako kanikataa...sasa nipige puchu?Wewe nakuogopa sasa hivi umekuwa wa watu sio wa ndugu yangu tena


Sawa tafuteni bundle salama
Niko apa mimi



! Au tayari ana kivuli changu..
Nakaziaa
Halafu siku hizi kivuli kimekuwa bonge
Eeenh usiniambie umeona wapi nilichungulia uko leo naona zimepostiwa picha kuwa yupo mjini woiii nikasema ndio basi tena huyu sio wetu jamani
Eeenh usiniambie umeona wapi nilichungulia uko leo naona zimepostiwa picha kuwa yupo mjini woiii nikasema ndio basi tena huyu sio wetu jamani







Niache nini etiAchaa basi..
Hahahaa! Au tayari ana kivuli changu..
Usipige puchu baba endelea na hayo maamuzi baba jjNdugu yako kanikataa...sasa nipige puchu?![]()
Sawa sawa mimi nipo jamani nawalindia jukwaa kama hiviTulipata si ndio tunakuja kusalimiana humu lakini mama D
Nimekumiss pia Baba Jj wa watu hakuna namna acha nizoee tu ndio ushemeji ushakufa tenaNimekumiss mama D wa watu..