Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,561
Una mbwembe weweJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito
Una mbwembe weweJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito
Kwa hiyo unaweza kutembelea nchi tatu ndani ya saa moja...very interesting!
Uumbaji wa Mungu huo mkuuKwa hiyo unaweza kutembelea nchi tatu ndani ya saa moja...very interesting!
Na mm nakusaidiaga mamiiMbona huwaga nalinda mwenyewe eti
Hahaha.Kweli we mzee tunakuaga wawili tu wenyewe na siku nyingine tunakuwaga na Denvers
Et kibonge cheusiZipi hizo jamani
Niliwakimbia kwa muda sasa hivi nitakuwa na watembelea maana kwa sasa mna ' swaggà' za 'ukweli' tena zilizomakinika.Mm siwezi kukimbia humu asee.. siwez kukuacha mwenyewe
Ukitoa uhusika wao katika "Empire" katika maisha halisi, Ni Mke Na Mume halali kabisa kwa Ndoa.na kwenye Empire ni mtu na mama yake
![]()
Wala bongo hakuna wasanii walahi.. Waandaaji wa hii series walijua kujipanga. Mm navutiwa zaidi na michano ya Hakeem na Jamal anavyopiga vocal...Wengi mnamjua kama "Jamal Lyon" katika Series ya "Empire" Bonge moja la Vocalist, Na naweza kusema ni mmojawapo ya Watu kama Ukimtoa Cookie na Lucious Basi Jamal Anafuata Kwa kuwa ndio Roho Ya Empire.... Akitoka Mmojawapo kati ya Hao, Waandaaji Watapata Tabu Kidogo. .
.
But katika "Series" tunamuona Kacheza Kama Shoga... Ishu ni Ukweli au Ni Maigizo tu...?? .
.
Jibu, Yes Ni Kweli SHOGA, ukiachana Na Maigizo unayoona.
Daah nilikuwa sijui kama nje ya Empire Jamal ni shoga na uhandsome wote huo jamaniiii![]()
Ulikuwa unajiita nani mwanzoni mkuuNiliwakimbia kwa muda sasa hivi nitakuwa na watembelea maana kwa sasa mna ' swaggà' za 'ukweli' tena zilizomakinika.
Ndio ndio tena kibonge cheusi mangalaEt kibonge cheusi
We mzee bwanaHahaha.
Mie kwako tena
Jina hili hiliUlikuwa unajiita nani mwanzoni mkuu
NimefanyajeWe mzee bwana
Mungu azidi kukuweka tu jamani mimi hoi na vimbwanga vyako tu kuna sehemu nakukutaga napitaga kimyakimya mwenyewe najichekea tuNimefanyaje