Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,621
Mnichangie ada niende na mm niwe bahariaNi pale Dsm Marine Institute - DMI
Mnichangie ada niende na mm niwe bahariaNi pale Dsm Marine Institute - DMI
Eenh kumbe unamjuaAnitume mm nipeleke ujumbenamjua Huyo mtu
Wazamiaji
Umeshajibiwa apaSa sisi wa kwenye Meli tunaitwaje?
Nimeamka poa we mzee sijui weweHahahaha, umeamkaje
Mie Niko poa kabisa mrembo wanguNimeamka poa we mzee sijui wewe
SwadaktaJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangala mtoto mlito
Inakujia kwa hisani kubwa ya huyu mzee mtuchake
Sawa Mama mchungaji ,nitakupa ujumbe wake uupelekeNitume mm anko ntafikisha ujumbe